Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
Katibu Mkuu wa Hizbullah katika Maadhimisho ya Miaka Miwili ya Kifo cha Haj Muhammad Hassan Yaghi: Tutasimama Imara, Tutapambana na Tutatimiza Malengo Yetu.