Ripoti ya NBC imeeleza kuwa uwezekano wa kurejea kwa vita kati ya Marekani na Iran unakabiliwa na changamoto kubwa za kijeshi, kutokana na mabadiliko ya mkakati wa Iran wa kusambaza na kuficha uwezo wake wa kijeshi kwa kuhamisha silaha chini ya ardhi na kutumia mifumo ya rununu inayohamishika mara kwa mara.
Gazeti la Washington Post limefichua pazia la uratibu wa siri kati ya Tel Aviv na Washington katika kuendesha vita ya kisiri dhidi ya Iran—vita ambayo kiini chake kimekuwa ni kuwaua wanasayansi wa Iran.