Kulingana na vyanzo vya Iran, masimulizi yanayoenezwa na baadhi ya vyombo vya habari - hasa vya Magharibi - ni juhudi ya kuunda taswira kwamba kuna juhudi nyingi za kidiplomasia zinazoendelea, na kwamba Iran ndiyo inayozuia njia.
Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba:
“Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”