Kwa mujibu wa wachambuzi, kulengwa kwa mimbari ya Sala ya Ijumaa si suala la ndani tu, bali ni ishara ya juhudi za serikali ya Bahrain kudumisha uhusiano wa karibu na Israel - hata kama ni kwa gharama ya kukandamiza sauti za kidini na za wananchi.
Abu Bakr Muhammad bin Sirin - Maarufu kama "Ibn Sirin" hakuwahi kuzungumza na mama yake kwa sauti ya juu, na kila alipomwambia jambo, ilikuwa kana kwamba anataka kulinong’oneza kwa siri.