Maulid hii itafanyika Tarehe 07-09-2025, Pweza Beach Road - Kigamboni, Dar-es-salaam.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (A) alikutana na Waziri Mkuu wa Côte d'Ivoire mara tu alipowasili nchini humo.