Mwanajeshi wa Jeshi la Wanamaji la Marekani (US Marine), William Upham, amekamatwa katika jimbo la Florida na kushtakiwa kwa tuhuma za kutoa vitisho dhidi ya Rais Donald Trump, baada ya kudaiwa kutoa kauli zilizohusisha wito wa kumuua rais huyo.
Mwanajeshi wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Marekani, Nicholas Ken O'Keefe, ametembelea Haram Tukufu ya Bibi Fatima Ma'suma (a.s) mjini Qum nchini Iran wakati wa ziara yake nchini humo.
Taliban imedai kuwa Pakistan, kupitia shirika lake la ujasusi la ISI, ilihusika na mauaji ya kulengwa ya Jenerali Ikramuddin Saree Jijini Tehran. Kwa mujibu wa vyanzo vya kiusalama, mauaji hayo yalilenga kuvuruga uhusiano kati ya Kabul na Tehran, na tukio hilo bado linaendelea kuibua mjadala na tahadhari za kiusalama.