Baraza la Ulamaa la BAKWATA, katika kikao chake cha dharura kilichoongozwa na Kaimu Mufti wa Tanzania, Sheikh Ali Khamis Ngeruko, limeazimia kumsimamisha Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam na kumteua Sheikh Abbas Ramadhani kukaimu nafasi hiyo.
Ushahidi wa Riwaya za Kisunni: Shia pia wametaja kuwa baadhi ya maelezo kuhusu tukio la shambulio la nyumba ya Bibi Fatimah (a.s.) na Imam Ali (a.s.) yanapatikana hata katika baadhi ya vitabu vya Kisunni, na wamekusanya riwaya zaidi ya 84 kutoka kwa wanazuoni wa Kisunni kuhusu tukio hilo (kama ilivyokusanywa katika al-Hujūm ʿalā Bayt Fāṭimah (a.s).