Pole
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Aliyekuwa Amir wa Qatar
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani, aliyekuwa Amir wa Qatar na baba wa Amir wa sasa wa nchi hiyo.
-
Iran Yalaani Vikali Shambulio la Kigaidi Kusini Magharibi mwa Pakistan
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baqaei, amelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea katika mji wa Khuzdar kusini magharibi mwa Pakistan, akitoa salamu za pole kwa familia za wahanga na kusisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda katika kupambana na ugaidi.
-
Kumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Imam Hussein (a.s)
Imam Hussein (a.s) anajulikana kwa kun'ya ya Abu ‘Abdillah, na miongoni mwa lakabu zake ni: As-Sayyid, Az-Zakiy, Al-Mubarak na As-Sibt. Mtume (s.a.w.w) alisema kuhusu yeye na kaka yake: “Wao ni mabwana wa vijana wa Peponi.”
-
Ujumbe wa Rambirambi kutoka kwa Ayatullah Dori Najafabadi kwa Watu wa Yemen: "Ushujaa wa Mashahidi Utaimarisha Umoja Dhidi ya Adui wa Kizayuni"
Ninawapa pole familia za mashahidi hawa wapendwa na wananchi wote wa Yemen. Tunawakumbuka mashahidi wote wa Uislamu: kuanzia mashahidi wa tukio la Fakh, mashahidi wa Palestina, Lebanon, na mashahidi wetu wa Iran kama vile Shahidi Qassem Soleimani na wengine.