Qassem Soleimani
-
Leo Katika Historia:Iran Ilishambulia Kambi ya Ain al-Asad ya Marekani kwa Makombora ya Balistiki Ikiwa Kisasi cha Kuuawa kwa Jenerali Qasim Soleimani
Ilikuwa Januari 8, 2020 pindi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilipofanya Shambulizi kubwa la Kihistoria kwa kuitwanga Kambi ya Kijeshi ya Marekani iliyoitwa "Ain al-Asad" ikiwa ni sehemu ya kulipiza kiasi baada ya Kuuawa kwa Shahidi Qassem Soleimani
-
Muundo Mpya wa Ukuta wa Uwanja wa Palestina Tehran Wabeba Ujumbe Mkali wa Kiebrania katika Kumbukumbu ya Shahid Soleimani | Mnazidi kukaribia kutoweka
Katika kumbukumbu ya shahidi Jenerali Qasem Soleimani, jadariya jipya katika Uwanja wa Palestina, Tehran, limeibuliwa likiwa na ujumbe wa Kiebrania unaobeba onyo la kiishara kuhusu kukaribia mwisho wa zama za ubeberu na uvamizi, likisisitiza kuendelea kwa njia ya mapambano na msimamo wa upinzani.
-
Vitisho vya Trump dhidi ya Iran Vinatokana na Kukata Tamaa: IRGC
IRGC imesema vitisho vya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya Iran vinatokana na kukata tamaa baada ya kushindwa kuishinikiza Iran, ikisisitiza utii wake kwa Kiongozi wa Mapinduzi Ayatollah Ali Khamenei na kuendelea kulinda taifa la Iran na kuimarisha njia ya Shahidi Qassem Soleimani katika Mhimili wa Upinzani.