Kikao maalumu cha khatma ya Qur'ani Tukufu kimefanyika katika Ofisi ya Al-Mustafa Zanzibar kwa ushiriki wa walimu na wanafunzi, kwa ajili ya kumuombea rehema Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na Mashahidi wote wa Vita vya Ramadhani.
Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uchunguzi wa mali za Ayatullah Sayyid Ali Khamenei (r.a.) umebaini kuwa aliacha mali chache sana, jambo linalotajwa kuakisi maisha yake ya ucha-Mungu na kujiepusha na anasa.
Kikao cha Qur’an katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (M.A) Siku ya kwanza ya Ramadhan kilisisitiza umuhimu wa Qur’an katika maisha ya kiroho ya Waislamu na thawabu za usomaji wake.