Utafiti wa pamoja wa The Economist na YouGov umeonyesha kuwa umaarufu wa Donald Trump umeendelea kushuka, huku vita dhidi ya Iran na changamoto za uchumi zikitajwa kuwa sababu kuu za kuongezeka kwa upinzani dhidi yake miongoni mwa Wamarekani.
Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).