Reuters
-
Mwangwi wa Hamasa Kubwa ya Watu wa Iran katika Vyombo vya Habari vya Kimataifa
Vyombo vingi vya habari vya kimataifa vimezitaja maandamano ya mamilioni ya wananchi wa Iran kuwa ni “onesho la mshikamano” mbele ya uwepo mkubwa wa silaha za kijeshi za Marekani katika eneo hilo, na vikaelezea tukio la 22 Bahman 1404 kuwa ni la kihistoria, kubwa na la kuvutia.
-
Reuters: Iran Yasisitiza Haki ya Kurutubisha Uranium Katika Mazungumzo ya Muscat
Reuters yaripoti kuwa Iran imesisitiza haki yake ya kurutubisha uranium katika mazungumzo ya Muscat, huku ikionyesha utayari wa kujadiliana kuhusu kiwango cha urutubishaji au kuanzishwa kwa consortium ya kikanda, na ikaongeza kuwa masuala ya makombora hayakujumuishwa kwenye ajenda ya mazungumzo.
-
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekuwa mkosoaji wa serikali ya Julani akamatwa na kupelekwa kusikojulikana
Tangu kuingia madarakani, serikali ya Ahmed al-Shar‘a, anayejitambulisha kama rais wa Syria, imekuwa ikizidi kubana uhuru wa maoni na kujieleza, na imewakamata watu kadhaa, wakiwemo baadhi ya walio na ushawishi mkubwa katika mitandao ya kijamii.
-
Umoja wa Ulaya wakaribia kumuadhibu “Abdulrahim Dagalo” Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka Sudan
Umoja wa Ulaya unakusudia kumuwekea vikwazo Abdulrahim Dagalo, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka (RSF) nchini Sudan, kwa tuhuma za ukiukaji wa haki za binadamu.