Kutoa matrilioni ya dola kwa Trump na kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel hakukuwaletea usalama wowote Saudia na washirika wake.
Rais wa Serikali ya mpito ya Syria alikutana na Rais wa Marekani katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
Rais wa Marekani, katika mwanzo wa ziara yake ya kwanza ya nje ya nchi, amewasili katika jiji la Riyadh.