Sayyid
-
Ayatollah Dkt. Abbasi, kupitia ujumbe wake, amempa pole Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Aref Naqavi kufuatia kufariki dunia kwa mke wake mpendwa
Ayatollah Dkt. Abbasi ametoa ujumbe wa rambirambi kwa Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Aref Naqavi kufuatia kufariki dunia kwa mke wake, akimuomba Mwenyezi Mungu amrehemu marehemu na awajaalie wafiwa subira na malipo mema.
-
Sayyid Abdul_Qadir Alusi: Shahidi Soleimani na Shahidi Al-Muhandis walikuwa ngome imara ya Umma dhidi ya mradi wa kuuangamiza Uislamu
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Ribat Muhammadi nchini Iraq, akizungumzia nafasi ya mashahidi wa muqawama, alisisitiza kuwa Shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani na Shahidi shujaa Abu Mahdi Al-Muhandis walisimama katika wakati muafaka na kwenye hatua nyeti ya historia ili kuzuia miradi iliyolenga kuuangamiza Umma wa Muhammad (s.a.w.w).
-
Kiongozi wa Kiislamu wa Shia Pakistan:
Hali ya Gilgit-Baltistan Ni Mbaya Sana; Watawala Ni Kama Adhabu Inayowakalia Wananchi
Kiongozi huyo wa kidini wa Shia Pakistan alisisitiza kuwa leo hii, rushwa, ukosefu wa sheria na usimamizi mbovu ndizo zimeenea kote katika eneo la Gilgit-Baltistan. “Wananchi wanajiona wapo peke yao, wamenyimwa haki na hawana pa kutegemea. Endapo hali hii itaendelea, ghadhabu ya wananchi inaweza kubadilika na kuwa dhoruba kubwa ambayo mzigo wake utabebwa na watawala pekee,”
-
Walimu Wapya Watambulishwa Madrasa ya Fatima Zahraa (s.a), Waumini Wajumuika na Sayyid Arif Naqvi katika Sala ya Jamaa
Sheikh Eid aliwapa wanafunzi nasaha kuhusu umuhimu wa kujitahidi katika masomo yao na kusisitiza nafasi ya elimu ya dini katika kujenga jamii yenye maadili mema.