Shujaa
-
Sayyid Khamenei: Kiongozi Aliyesimama Kidete Dhidi ya Ubeberu wa Kimataifa
Baada ya hatua thabiti na za kishujaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya kambi za kijeshi za Israel na Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, dunia iliamka asubuhi ikiwa inazungumzia wasifu mpya wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei—kiongozi wa kiroho aliyeonesha ujasiri, busara na msimamo usiotetereka mbele ya madola ya kibeberu.
-
Mahojiano na Mwanaharakati Mnyemeni na Shirika la Habari la ABNA;
Kuhusu Utambulisho wa Kiyemen na Sifa za Sayyid al-Houthi hadi kwenye “Bendera ya Yamen” / Kizazi kijacho nchini Yemen kitakuwa kizazi imara
Sisi na Iran ni Mwili Mmoja Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kindugu uliyojengwa juu ya msingi wa Uislamu, si madhehebu. Tunafuata aya tukufu isemayo: «إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ» - “Hakika waumini ni ndugu.”
-
Kiongozi wa kidini wa Waislamu wa Sunni nchini Afghanistan;
Amekosoa sera za Taliban dhidi ya wanawake, akisema: «Mwanamke ni shujaa na ndiye anayezalisha mashujaa wengine»
Hali ilivyo sasa ambapo Taliban nchini Afghanistan wamepunguza haki za wanawake na wasichana kuhusiana na elimu, kazi, na ushiriki katika jamii, kiongozi mmoja wa dini wa Sunni amekosoa waziwazi sera za kutozingatia wanawake za Taliban katika hotuba yake ya umma.