Simulizi
-
Marekani na Israel wanaandaa / Wanatengeneza simulizi (riwaya) mpya ili kuongeza shinikizo dhidi ya Hezbollah na Lebanon
Israel, kwa msaada wa Marekani, inajaribu kutengeneza mazingira ya kuanzisha vita na kuongeza mashinikizo dhidi ya Lebanon, kwa kutishia kulazimisha Hezbollah ivuliwe silaha kufikia mwisho wa mwaka.
-
Ilibainishwa katika mkutano na waandishi wa habari:
Maonesho ya Picha 'Siku 12 za Iran' Tukio Kubwa la Simulizi ya Vita, Yataoneshwa Nchini 40
Maonyesho ya Picha ya Kimataifa “Siku 12 za Iran” yenye mada ya Simulizi Halisi ya Vita vya Kulazimishwa vya Siku 12, yanayoratibiwa na Jumuiya ya Amani ya Kiislamu Duniani na Taasisi ya Utamaduni, Sanaa na Utafiti ya Saba, kwa ushirikiano wa Taasisi 21 za ndani na kimataifa, yatafanyika kuanzia tarehe 14 Septemba katika Taasisi ya Sanaa na sambamba na nchi 40 duniani.
-
Habari iliyoenea ya ufunguzi wa Ofisi ya ABNA nchini Ghana katika Vyombo vya Habari nchini Ghana
Sambamba na ufunguzi wa Ofisi ya kikanda ya Shirika la habari la ABNA nchini Ghana, vyombo vya habari vya nchi hiyo vilikaribisha uwepo wa chombo hiki cha habari cha kimataifa na kukitambulisha kama jukwaa la kusambaza simulizi za kitamaduni na kidini kutoka ulimwengu wa Kiislamu hadi Afrika Magharibi.