Kauli ya Donald Trump, rais wa Marekani, iliyokiri wazi kiwango cha msaada mkubwa wa Marekani kwa Israel, imezua mjadala mpana katika uwanja wa siasa za kimataifa. Wachambuzi wanasema kauli hiyo inaashiria ushiriki wa moja kwa moja wa Marekani katika sera na hatua zinazohusishwa na ukaliaji wa ardhi, uvamizi na ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wananchi wa Palestina, jambo lililoibua maswali mazito kuhusu uwajibikaji wa kimaadili na kisheria wa Washington mbele ya jumuiya ya kimataifa.
Tukio la pili la vyombo vya habari “Nahnu Abna Al-Hussain (AS)” linakusudia kukuza na kuunga mkono kazi za kisanii na vyombo vya habari wakati wa msimu wa Arbaeen kwa mtazamo wa kimataifa, likionyesha uwepo wa mataifa mbalimbali, tamaduni, na dini, na litakubali kazi (Mawasilisho) kutoka kwa Mazuwwari wa Arbaeen.