Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.
Imam Jawad (as) - Alipewa sumu kali inayounguza moyo, kutoka kwa Umm Fadhl (mke wake, aliyemwekea sumu kwa amri ya mfalme)