Waziri wa Mambo ya Nje wa Abbas Araghchi amefanya ziara katika mji mtakatifu wa Karbala, ambapo alitembelea maqamu takatifu za Imam Hussein ibn Ali na Al-Abbas ibn Ali na kutoa heshima zake wakati wa ziara yake rasmi nchini Iraq.
Sambamba na Wiki Takatifu ya Ulinzi (au Wiki ya Utetezi Mtukufu - Sacred Defence), Ayatollah Khamenei atazungumza na Wananchi wa Iran na Ulimwengu mzima Usiku wa leo akidadavua masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.