limedai kuharibu rada za ulinzi wa anga, mfumo wa onyo la mapema na kituo cha udhibiti wa boti zisizo na rubani za Kikosi cha Tano cha Wanamaji wa Marekani nchini Bahrain.
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) wamedai kufanya shambulizi la ndege zisizo na rubani dhidi ya makao makuu ya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Bahrain, katika kile walichokiita kujibu mashambulizi dhidi ya maeneo ya kusini mwa Iran.
Kulingana na taarifa ya Haram Tukufu ya Abasi, idadi ya mahujaji waliohudhuria maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) mwaka huu imefikia milioni 21,103,524.