Gazeti la Telegraph limeripoti kuwa Israel imehusisha mauaji ya Bondi na Hezbollah pamoja na Iran bila kuwasilisha ushahidi wa kuaminika, huku maafisa wa Australia wakiwa hawajathibitisha ushiriki wowote wa nje, na uchunguzi ukiendelea.
Kikundi cha wanamgambo kinachoitwa “Abu Shabab” kiko karibu kabisa kuvunjika baada ya kupoteza msaada wa anga kutoka kwa Israel na kushambuliwa kwa mashambulizi ya kulipiza kisasi kutoka kwa Harakati ya Hamas.