Tuhuma
-
Mwendesha Mashtaka wa Tehran afungua mashtaka dhidi ya wanasiasa wanaounga mkono mikondo hasimu
Mwendesha Mashtaka wa Tehran ametangaza mashtaka dhidi ya baadhi ya wanasiasa kwa tuhuma za kushirikiana na Marekani na utawala wa Kizayuni, ambapo watu 4 wamekamatwa kwa madai ya kuchochea vurugu na kudhoofisha usalama wa ndani.
-
Lebanon imekamata watu 32 kwa tuhuma za kushirikiana na Israel kama majaribio ya kijasusi
Maafisa wa Lebanon wameripoti kwamba angalau watu 32 wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na Mossad na kupeleka taarifa za kina kuhusu nafasi na harakati za Hezbollah kwenda Israel wakati wa vita vya hivi karibuni.
-
Maduro: "Trump ameongeza umoja wa kitaifa nchini Venezuela"
Rais wa Venezuela amesema: Tuhuma zisizo na msingi za Trump dhidi ya Venezuela zimeongeza umoja na mshikamano wa watu na serikali ya Venezuela.
-
Mamlaka za Israeli zimethibitisha kukamatwa kwa raia wawili wa Israeli kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran
Watu wawili waishio katika mji wa Haifa wamekamatwa kwa tuhuma za kufanya ujasusi kwa niaba ya Iran.