Washington Post imetahadharisha katika ripoti yake kwamba Ulaya inakabiliwa na janga la idadi ya watu; janga hili linaweza kuathiri nguvu kazi, ukuaji wa uchumi, na uthabiti wa kijamii wa bara hilo.
Ayatollah A'rafi aliashiria juu ya umuhimu wa uongozi maalumu katika masuala ya wahamiaji, akitaja mji wa Qom kuwa ni eneo lenye umuhimu mkubwa linalohitaji mpango thabiti wa kiutamaduni, usimamizi wa karibu, na juhudi za kudumisha utambulisho wa kidini na kijamii wa wahamiaji.