Mahfali hayo ya kimataifa yanakusudiwa kuwa jukwaa muhimu la kiroho na kielimu, ambapo wasomaji bingwa na mahiri wa Qur'an Tukufu kutoka Tanzania watapata fursa ya kuonesha vipaji vyao katika kusoma Aya Tukufu za Mwenyezi Mungu (SWT), kwa mapito na mitindo mbalimbali ya usomaji wa Qur'an (Qira’at).
Kwa mujibu wa Sekretarieti ya Kisayansi na Tathmini ya Tamasha, mchakato wa ukusanyaji na uhariri wa juzuu ya kwanza ya kitabu hiki upo katika hatua za mwisho.