Wakati Donald Trump alipodai Jumatatu kuwa ameweka rekodi mpya ya umaarufu wake, matokeo ya kura za maoni zinaonyesha kuwa Wamarekani wengi hawaridhiki na utendaji wake, hasa katika masuala ya uchumi na uhamiaji.
Shirika la habari la Kipalestina Shehab limeandika kuwa, kwa mujibu wa takwimu za utafiti wa maoni ya wananchi uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Mitazamo ya Umma na Utafiti wa Kijamii, Hamas inaongoza kwa umaarufu katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.