Umoja wa Ulaya
-
Kampuni ya CinnaGen ya Iran imepata mafanikio makubwa baada ya dawa yake ya Zandoriah (teriparatide) kuidhinishwa kuuzwa katika nchi 27 za Umoja wa Ul
Kampuni ya CinnaGen ya Iran imepata mafanikio makubwa baada ya dawa yake ya Zandoriah (teriparatide) kuidhinishwa kuuzwa katika nchi 27 za Umoja wa Ulaya pamoja na nchi tatu za EEA, hatua inayochukuliwa kuwa mafanikio muhimu kwa sekta ya dawa na teknolojia ya afya ya Iran.
-
Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orban Awatuhumu Viongozi wa EU Kuhusu Mpango wa Kutwaa Mali za Russia: “Hii Ni Sawasawa na Tangazo la Vita”
Orban ameonya kuwa tishio la Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi, na kwamba “waliberali wa Ulaya wanaounga mkono vita” wanapinga mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Russia.
-
Umoja wa Ulaya wakaribia kumuadhibu “Abdulrahim Dagalo” Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka Sudan
Umoja wa Ulaya unakusudia kumuwekea vikwazo Abdulrahim Dagalo, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Mwitikio wa Haraka (RSF) nchini Sudan, kwa tuhuma za ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Ripoti kuhusu mazungumzo ya Iran na Ulaya Mjini Geneva
Awamu ya pili ya mazungumzo ya pande mbili itaendelea baada ya awamu hii ya kwanza kumalizika.