Umoja wa Ulaya

  • Ufaransa na Ujerumani zailaumu Urusi kwa kupambana na magaidi

    Ufaransa na Ujerumani zailaumu Urusi kwa kupambana na magaidi

    Viongozi wa Ujerumani na Ufaransa ambao ni miongoni mwa wadhamini wakuu wa magaidi wa Syria, ambao pia walikuwa mstari wa mbele katika kuharibu amani ya Libya, wamemkosoa rais wa Urusi Vladmir Putin kutokana na mashambulizi anayoyafanya dhidi ya magaidi nchini Syria na wamekataa kuondoa uwezekano wa kuiwekea vikwazo Urusi.