Upatanishi
-
Marekani yafichua rasimu ya makubaliano ya amani kati ya Israel na Lebanon kwa upatanishi wa Washington
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeweka wazi maandishi ya makubaliano ya awali ya amani kati ya Israel na Lebanon yaliyofikiwa kupitia upatanishi wa Marekani mjini Washington. Makubaliano hayo yanalenga kumaliza uhasama wa muda mrefu, kuimarisha usalama wa mipaka, na kuweka utaratibu wa hatua kwa hatua wa kuimarisha mamlaka ya dola nchini Lebanon huku vikosi vya Israel vikijipanga upya kwa awamu.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Aeleza Kuhusu Kauli Kinzani za Maafisa wa Marekani
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghaei, amesema kuwa katika mchakato wowote wa kidiplomasia kila upande hujaribu kuwasilisha simulizi lake, lakini Iran imekuwa ikihakikisha taarifa zake zinatokana na uhalisia na uwazi kwa wananchi.
-
Tehran imelitaja dai la upatanishi wa Bin Salman kuwa ni uongo uliopangwa kwa makusudi ili kuiweka Iran katika mazingira ya kutuhumiwa
Kulingana na vyanzo vya Iran, masimulizi yanayoenezwa na baadhi ya vyombo vya habari - hasa vya Magharibi - ni juhudi ya kuunda taswira kwamba kuna juhudi nyingi za kidiplomasia zinazoendelea, na kwamba Iran ndiyo inayozuia njia.
-
Iran Yajitolea kusimama Kati Katika Mvutano Kati ya Pakistan na Afghanistan
Wataalamu wa masuala ya kikanda wanasema kwamba mpatanishi wa tatu (Iran) anaweza kusaidia kupunguza hatari za mzozo mkubwa na kuimarisha ushirikiano na amani katika eneo hilo.