Kikundi cha viongozi wa kidini wa Kishia nchini Marekani pamoja na Askofu Mkuu wa Washington wamekutana katika kikao cha kirafiki ili kuimarisha ushirikiano kati ya Waislamu na Wakristo na kupanua njia za mazungumzo ya baina ya dini mbalimbali.
Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayari wa nchi yake kwa ajili ya kukomesha ugaidi na kuimarisha usalama wa mipaka ya Iran na Pakistan.