Uranium
-
Mzozo wa Urani Wazidi Kutatiza Makubaliano Kati ya Iran na Marekani
Ripoti zinaeleza kuwa Iran inaendelea kusimama kidete katika msimamo wake wa kutoruhusu akiba yake ya urani iliyorutubishwa kuhamishwa nje ya nchi, jambo linaloongeza ugumu katika mazungumzo yanayoendelea na Marekani kuhusu makubaliano mapya ya nyuklia na usalama wa kikanda.
-
Iraq: Hatutaacha urutubishaji wa urani
Iran haitakoma kurutubisha urani; ni haki yake kama taifa huru, shughuli zote zikiwa salama na zikifuatiliwa na IAEA, na mazungumzo na Marekani yanaendelea bila kujadiliwa kwenye vyombo vya habari.
-
Mazungumzo ya Marekani na Iran Yamalizika kwa Tabasamu Bila Suluhu: Iran Yakataa Kusitisha Urutubishaji wa Uranium
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran yamekamilika bila mafanikio ya msingi, huku Iran ikikataa kusitisha urutubishaji wa uranium au kuhamisha vifaa vyake nje ya nchi. Tehran imesisitiza kuwa utajirishaji ndani ya Iran ni mstari mwekundu, wakati Washington ikisisitiza haitakubali Iran kubaki na uwezo wowote wa silaha za nyuklia. Kwa hali hii, duru ijayo ya mazungumzo itaamua hatima ya diplomasia kati ya pande hizo mbili.
-
Hasira ya Lieberman kwa kushindwa kwa Israel kufikia malengo yake maovu
Hili la kusitisha mapigano ni la aibu, si mpango wa makombora wa Iran umeharibiwa wala mpango wao wa nyuklia, huu ni usitishaji mapigano usio na masharti, Iran itarutubisha Uranium (ya Nyuklia) tena.