“Dkt. Pezeshkian katika ujumbe wake kwa sherehe ya kumaliza mashindano ya 17 ya Qur’ani ‘Medhametan (ni jina la tukio / shindano)’, huku akitoa shukrani kwa waandaji wa mashindano haya, alisisitiza: Jukumu la vituo vya misikiti katika kulea na kuandaa kizazi kipya cha vijana watiifu katika nyanja hii ya ujenzi wa kiroho ni la kuthaminiwa sana.”
Waandaji wa Kikosi cha Uthabiti na Uimara cha Muqawama wametoa wito kwa Serikali za Dunia kusaidia harakati za meli za kikosi hiki kuelekea Ukanda wa Gaza.