Wataalamu
-
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran lafichua mafanikio matatu makubwa ya nyuklia
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetangaza mafanikio matatu makubwa ya nyuklia: kuzindua kichochezi cha kwanza cha viwandani kilichotengenezwa ndani ya nchi, kuanza uzalishaji wa hali ya juu wa Carbon-13, na kurejesha cyclotron kwa ajili ya uzalishaji wa dawa za mionzi licha ya vikwazo.
-
Watafiti: Sera za Jolani zimeiingiza Syria katika lindi la machafuko
Wataalamu wameonya kwamba kuendelea kwa vurugu na sera za kueneza mgawanyiko kunaisukuma Syria kuelekea migogoro iliyo kubwa na ya kina zaidi.
-
Katika Kikao cha "Nafasi ya Wanawake wa Vyombo vya Habari katika Muqawama (Mapambano - Upinzani) ilibainika:
Kutoka kwa Zainab al-Kubra(s) hadi leo; Karbala ni Chuo cha Habari cha Mwanamke Muumini /Wanawake Waislamu wako mstari wa mbele katika vita vya Habari
Misingi Mitatu ya Wajibu wa Mwanamke Mwislamu katika Ulimwengu wa Habari Kueneza uelewa: Mwanamke Mwislamu anapaswa kuwa sauti ya ukweli, afichue upotoshaji wa vyombo vya habari vya upande wa uongo, na atangaze mateso ya waliodhulumiwa duniani – kuanzia Palestina hadi kila sehemu inayokandamiza utu. Kutetea utambulisho: Vyombo vya habari vya kisasa vinajaribu kumvua mwanamke heshima yake na kumgeuza bidhaa ya matangazo. Mwanamke Mwislamu lazima athibitishe kuwa uhalisia na usasa vinaweza kuishi pamoja, na kwamba heshima hupimwa kwa utiifu wa ujumbe wa Mwenyezi Mungu, si kwa uchi au mvuto wa sura. Kulea kizazi cha waandishi wa kweli: Wajibu wa mwanamke hauishii katika kushiriki binafsi katika vyombo vya habari; anatakiwa kulea kizazi kinachotambua nguvu ya neno na dhamana ya uandishi wa ukweli.
-
Kwa nini Qur'an inahitaji Tafsiri? | Sehemu ya Kwanza
Ili kuelewa Aya za Mutashabihat, tunahitaji wataalamu (wajuzi) wa Tafsiri ambao wanaweza kufafanua kwa kutumia Aya nyingine au zingine na elimu ya dini.