Ayatollah Khamenei katika kikao na Rais pamoja na Baraza la Mawaziri alisisitiza juu ya umuhimu wa 'kutawala kwa hali ya kazi, juhudi na matumaini' dhidi ya 'hali ya si vita wala amani'
Waandaji wa kampeni hii wamesema kuwa lengo ni kuonyesha upinzani wao dhidi ya uhalifu unaoendelea wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina na kushinikiza kwamba baadhi ya chapa za kimataifa zinashiriki kifedha kwa ajili ya kuunga mkono utawala huu.