Rais wa Venezuela Nicolás Maduro amesema mbele ya mahakama ya New York kuwa yeye ni mfungwa wa vita, akisisitiza kuwa hana hatia na hakubali mashtaka yote yanayomkabili yeye na mkewe. Mahakama imeruhusu wawili hao kuwasiliana na ubalozi wa nchi yao, huku wakili wa Maduro akibainisha kuwa kwa sasa hawajaomba dhamana lakini wanaacha uwezekano huo wazi baadaye.
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.