Baada ya kushindwa katika vita vya siku 12, Marekani na Israel wanajaribu kuhamishia shinikizo ndani ya Iran kwa kuchochea ghasia za kiuchumi na kijamii; wachambuzi wakisisitiza umuhimu wa vyombo vya habari kusambaza ukweli na kutofautisha kati ya madai halali na machafuko.
Shia na Mtazamo wao kwa Masahaba
Shia hawawatusi Masahaba wa Mtume (s.a.w.w), bali hukosoa matendo au maneno ya baadhi yao pale yanapopingana na mafundisho ya Uislamu na Qur’an Tukufu. Kukosoa kwao si kutokana na chuki, bali ni kutokana na ufuasi wa haki na uchambuzi wa kielimu.
Akinukuu Aya ya 108 ya Surah Yusuf, Sheikh Ghawth alisisitiza umuhimu wa kutumia akili, mazingatio na dalili za ulimwengu wa nje (Ulimwengu wa Dhahiri) katika kumuelewa Muumba.