fedha
-
Iran: Hakuna Mpango wa Kukutana na Marekani, Mazungumzo ya Fedha Zilizozuiliwa Kufanyika Doha
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran itajadili suala la fedha zake zilizogandishwa na Qatar mjini Doha, huku akisisitiza kuwa hakuna mipango ya kukutana na maafisa wa Marekani katika siku zijazo na kwamba msimamo wa Iran kuhusu Lebanon unabaki wazi.
-
Iran: Kuachiliwa kwa Fedha Zilizozuiwa, Kuondoka kwa Majeshi ya Kigeni Mashariki ya Kati na Kulipa Ushuru wa Hormuz ni Miongoni mwa Masharti ya Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuachiliwa kwa fedha za Iran zilizozuiwa ni sehemu muhimu ya makubaliano yoyote yajayo, huku akisisitiza kuwa mazungumzo ya sasa yanajikita katika kumaliza vita na masuala ya Lebanon, na kwamba uwepo wa majeshi ya kigeni katika eneo unapaswa kukomeshwa.
-
Barrick Gold Yalipa Faranga za CFA Bilioni 275 kwa Mali Baada ya Mvutano wa Muda Mrefu
Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold imelipa Faranga za CFA bilioni 275 kwa Serikali ya Mali ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa zikidaiwa na mamlaka za nchi hiyo, hatua inayotajwa kuwa matokeo ya msimamo mkali wa Bamako katika kusimamia rasilimali zake za taifa.
-
Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orban Awatuhumu Viongozi wa EU Kuhusu Mpango wa Kutwaa Mali za Russia: “Hii Ni Sawasawa na Tangazo la Vita”
Orban ameonya kuwa tishio la Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi, na kwamba “waliberali wa Ulaya wanaounga mkono vita” wanapinga mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Russia.
-
Baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake - Je, Afghanistan inakaribia kujitegemea?
Kabul imeanza safari ya kuzalisha megawati 10,000 za umeme baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake, mpango unaoweza kuibadilisha kutoka nchi inayoagiza umeme hadi kuwa muuzaji wa nishati katika ukanda.