Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold imelipa Faranga za CFA bilioni 275 kwa Serikali ya Mali ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa zikidaiwa na mamlaka za nchi hiyo, hatua inayotajwa kuwa matokeo ya msimamo mkali wa Bamako katika kusimamia rasilimali zake za taifa.
Orban ameonya kuwa tishio la Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi, na kwamba “waliberali wa Ulaya wanaounga mkono vita” wanapinga mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Russia.
Kabul imeanza safari ya kuzalisha megawati 10,000 za umeme baada ya kusaini makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia yake, mpango unaoweza kuibadilisha kutoka nchi inayoagiza umeme hadi kuwa muuzaji wa nishati katika ukanda.