Iran haitakoma kurutubisha urani; ni haki yake kama taifa huru, shughuli zote zikiwa salama na zikifuatiliwa na IAEA, na mazungumzo na Marekani yanaendelea bila kujadiliwa kwenye vyombo vya habari.
Leo hii, dalili zinaonyesha kuwa Marekani inaelekea kupoteza nafasi yake ya kimataifa na kukaribia anguko kubwa la kisiasa na kiushawishi duniani. Katika mabadiliko ya sasa ya uongozi wa dunia, haionekani tena kuwa na nafasi ile ya kujigamba kama ilivyokuwa hapo awali.