hakuna
-
Sheikh Naim Qassem: Mpango wa Kuangamiza Iran na Muqawama Umeshindwa / Amani Itategemea Kusitishwa kwa Uvamizi na Kujiondoa kwa Adui
Katibu Mkuu wa Hezbollah amesema kuwa mpango wa kuangamiza Iran na muqawama umefeli, akisisitiza kuwa kusitishwa kwa mapigano lazima kuwe kwa masharti ya kusitishwa kabisa kwa uvamizi na kujiondoa kwa adui katika maeneo wanayoyakalia.
-
Mwanachama wa Timu ya Wajadiliani wa Iran: Hakutakuwa na Ukaguzi wa Vituo vya Nyuklia Vilivyoharibiwa
Mwanachama wa kitengo cha habari cha timu ya mazungumzo ya Iran amesema kuwa hakuna ukaguzi wowote utakaofanyika katika vituo vya nyuklia vilivyoharibiwa na vita, huku akisisitiza kuwa maamuzi kuhusu vikwazo na suala la nyuklia yatafanywa baada ya utekelezaji wa Kifungu cha 13 cha hati ya maelewano.
-
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa: Israel Imalize (ikomeshe) Uvamizi wa Ardhi ya Lebanon
Sébastien Lecornu amesema kuwa hakuna suluhisho la kudumu kwa mzozo wa kikanda unaohusisha Iran bila kushughulikia kwa uzito suala la Lebanon, akitoa wito kwa Israel kusitisha operesheni zake na kuondoa uwepo wake katika ardhi ya Lebanon.
-
Iraq: Hatutaacha urutubishaji wa urani
Iran haitakoma kurutubisha urani; ni haki yake kama taifa huru, shughuli zote zikiwa salama na zikifuatiliwa na IAEA, na mazungumzo na Marekani yanaendelea bila kujadiliwa kwenye vyombo vya habari.
-
Dalili za Anguko la Marekani na Kupanda kwa Nafasi ya Iran Katika Mfumo Mpya wa Dunia
Leo hii, dalili zinaonyesha kuwa Marekani inaelekea kupoteza nafasi yake ya kimataifa na kukaribia anguko kubwa la kisiasa na kiushawishi duniani. Katika mabadiliko ya sasa ya uongozi wa dunia, haionekani tena kuwa na nafasi ile ya kujigamba kama ilivyokuwa hapo awali.