hatia
-
Iran Yalaani Marekani na Israel kwa Mauaji ya Watoto katika Migogoro ya Kivita
Iran imeishutumu Marekani na Israel kwa kile inachokiita mauaji ya watoto wasio na hatia kupitia vita, mashambulizi na ukaliaji katika maeneo mbalimbali, ikisisitiza kuwa watoto ndio wahanga wakuu wa migogoro inayoendelea duniani.
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Hatuwezi Kuvumilia Kuendelea kwa Uhalifu Dhidi ya Lebanon
Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi, ameonya kuwa Iran haitakaa kimya mbele ya kuendelea kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Lebanon, akilaani mauaji ya raia na ukimya wa baadhi ya mataifa ya Magharibi.
-
Picha iliyochapishwa ya kuuawa shahidi kwa watoto wengine wawili katika milipuko ya leo ya Wazayuni
Utawala haram wa Kizayuni, ni utawala wa kinyama na wenye damu mikononi dhidi ya watoto wadogo wa Ghaza wasiokuwa na hatia. Utawala huu ni kansa katika eneo zima la Mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.