Mtume (saww) anatuambia:
Ikiwa unampenda Fatima (a.s) kwa moyo wa kweli, basi upendo huo utakuwa mwanga, kinga, na msaada wako katika hatua ngumu zaidi za Akhera.
“Umma wa Malk Khashab,” Mwanahabari wa kike wa Ansarullah, aliandika:
Katika mapambano kati ya wavamizi na Wazayuni dhidi ya Yemen, hesabu zote zimebadilika na mizani imegeuzwa. Kwa hivyo, walianza kulia na kupiga kelele kutokana na wanaume imara wa Yemen na wana-yemen kwa ujumla, na sasa Yemen imekuwa moto wa kuotea mbali na ndoto za kutisha kwao zinazowaamsha mara kwa mara.