hijabu
-
France 24: Sera la Laicité (Utaifa usioegemea Dini) nchini Ufaransa yageuzwa kuwa chombo cha shinikizo la kisiasa dhidi ya Waislamu
Wataalamu: Sheria hizi zinalenga kundi moja tu - Waislamu Nicolas Cadène, ambaye ni mtaalamu maarufu wa sheria ya Ulaikishe na aliyewahi kuwa ripota wa Kituo cha Uangalizi wa Ulaikishe, ameiambia France 24 kwamba: “Mipango hii inawalenga Waislamu pekee, na inaonyesha kukubalika kwa ubaguzi wa wazi.”
-
Heshima ya Mwanamke wa Kiislamu Katika Muonekano wa Vazi la Hijabu: Mfano wa Mabinti wa Hawzat Hazrat Zainab (sa), Dar es Salaam – Tanzania
Leo hii katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam - Tanzania, palifanyika Kongamano Tukufu la Qur’an ambapo wanafunzi wa kike kutoka Hawzat Hazrat Zainab (sa) walishiriki kwa umahiri na adabu kubwa. Walikuwa mfano halisi wa utekelezaji wa mafundisho bora ya Kiislamu kuhusu namna ya kujisitiri, kuishi, na kuwasilisha ujumbe wa dini kwa vitendo.
-
Umuhimu wa Hijab kwa Mwanamke: Ni kwa nini Hijab ni Wajibu kwa Mwanamke wa Kiislamu?
Katika zama hizi, Hijabu imelinganishwa na kutoendelea kwa jamii na inafikiriwa kuwa ni ishara ya kifungo cha wanawake. Wahubiri wengi wanafikiria kuwa ni bora kutolizungumzia jambo hili katika majlisi zao. Lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Inapotokea Bid’ah na Mwanachuoni asikiseme kile akijuacho (dhidi ya Bid’ah hiyo), basi (Mwanachuoni huyo) hulaaniwa na Mwenyezi Mungu, Malaika na Wanadamu.”