Shirika la Redio na Televisheni la utawala wa Kizayuni limedai kwamba Misri, sambamba na kuongezeka kwa operesheni za kijeshi za Israel huko Gaza, imetuma maelfu ya wanajeshi na vifaa vya kijeshi katika eneo la kaskazini mwa Jangwa la Sinai lililoko mpakani na Ukanda wa Gaza na Israel.
"Ninapokusoma jina lako, nakushukuru kwa ukubwa wa maarifa yako, na pia nakumbuka machozi yako ya utotoni huko Karbala...".
Maisha ya Imam Muhammad Baqir (a.s) yamejazwa na mafundisho ya kina na nyakati za tafakari ambazo hazileti tu machozi kwa mioyo bali pia huamsha fikra na akili. Katika kipindi kigumu cha historia, alitumia hekima na maarifa kuleta mwanga mpya katika mafahimu za Dini.