Mjumbe wa Bunge la Marekani amemkosoa Donald Trump kwa vitisho vyake vya kuisukuma Marekani vitani iwapo Iran haitakubali makubaliano mapya yanayofanana na Joint Comprehensive Plan of Action, makubaliano ambayo yeye mwenyewe alijiondoa nayo hapo awali.
Katika mnasaba wa maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Mahdi (AS), Waislamu wa Shia na Sunni walikusanyika kujadili kuhusu Mwokozi wa Ulimwengu na wajibu wa Waumini katika kipindi cha Ghaiba. Khatibu Sheikh Suleimani Abdully aliwakumbusha vijana juu ya umuhimu wa kumcha Mwenyezi Mungu, kushukuru neema Zake na kujenga tabia njema ili kuandaa jamii yenye utu, uadilifu na iliyoepukana na dhulma na ufisadi.