kale
-
Wayahudi wa Jana, Ujumbe Muhimu kwa Wanafunzi wa Leo
Alhamdulillah, leo idadi na ubora wa vijana wa muumini, waaminifu na wenye shauku katika nchi hii ni kubwa zaidi sana kuliko kipindi cha mwanzo wa Mapinduzi; leo hali ni hivi; haturidhiki, lakini tahadhari iwepo kuhakikisha njia inafuatwa vizuri.
-
Madai ya Ukinzani kati ya Fitra ya Upweke wa Mungu (Tawhidi) na Uwepo wa Ushirikina na Miungu Mingi
Chanzo: Kituo cha Kitaifa cha Majibu ya Maswali ya Dini | Swali: Ikiwa Binadamu wote wana Fitra moja ya kumpwekesha Mungu na Manabii (as) daima wamekuwa wakiwaita watu katika ibada ya Kumuabudi Mwenyezi Mungu Mmoja, basi kwa nini katika historia, jamii nyingi kama Waarian wa kale au Wahindu walipata kuangukia kwenye ushirikina na ibada ya miungu mingi? Je, jambo hili si kinzani na madai ya kidini (juu ya Fitra ya Mwanadamu kuwa ya kumpwekesha Mwenyezu Mungu)?.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ataka Utekelezaji wa Makubaliano ya Kistratejia kati ya Iran na China
Ayatollah Khamenei amesisitiza nafasi ya kihistoria na ya kimkakati ya Iran na China katika bara la Asia na duniani, na akasema kuwa: "Iran na China, zikiwa na historia ya ustaarabu wa kale katika pande mbili za Asia, zina uwezo wa kuleta mabadiliko katika medani ya kimataifa na kikanda. Kuweka katika vitendo vipengele vyote vya makubaliano ya kistratejia, kutarahisisha njia hii."