Mama wa mashahidi wawili wa Lebanon, katika mahojiano na ABNA, alisimulia uzoefu wake kama mama katika njia ya muqawama na uvumilivu aliokuwa nao baada ya kuwapoteza watoto wake. Pia aliwasihi mama na wake za mashahidi waendelee kufuata njia ya wapendwa wao na kushikamana na imani.
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan amesema kuwa:
Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ambao ni mtangulizi wa haki sawa, uadilifu wa kiuchumi na utawala wa haki, na mfano bora zaidi wa hayo ni mfumo wa haki wa Imam Ali (a.s) ambao utabaki kuwa kielelezo cha uadilifu na usawa daima.