Mtangazaji wa televisheni kutoka Kuwait, Zainab Dashti, ameripotiwa kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kutokana na tuhuma zinazohusiana na kuunga mkono Iran, hatua iliyozua mjadala kuhusu uhuru wa maoni na masuala ya kisiasa.
Jaribio la kujiua la Yifat Tomer-Yerushalmi limeibua mjadala mpana kuhusu ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina na migawanyiko ya kisiasa ndani ya jeshi na serikali ya Kizayuni.