kipalestina

  • Hamas: Hatuna nia ya kuendesha Gaza baada ya vita

    Hamas: Hatuna nia ya kuendesha Gaza baada ya vita

    Harakati ya Upinzani ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa haina nia ya kushiriki katika mipango ya utawala wa ukanda wa Gaza baada ya kuisha kwa mashambulizi ya utawala wa kikoloni, na imeitaka kuundwa kwa kamati ya usimamizi kwa makubaliano ya makundi yote ya Kipalestina.