Iran na Urusi zimekubaliana kuinua kiwango cha mazungumzo yao kuhusu haki za binadamu na kuandaa mtazamo mpya wa pamoja wa kukabiliana na simulizi wanazoliona kuwa la upande mmoja kutoka mataifa ya Magharibi.
Taarifa za kina kuhusu kinachoendelea Nchini Venezuela bado zinaendelea kutokea, na hali ya kisiasa nchini Venezuela iko wazi kwa mfululizo wa taarifa mpya zinazotoka zikitoa ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusiana na kusalitiwa na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo.
Tovuti ya Kifaransa Mediapart, kwa ushirikiano na vyombo vingine nane vya habari vya Ulaya, kupitia mradi unaoitwa “Faili za Utawala wa Kizayuni”, imefichua kuundwa kwa kitengo cha siri ndani ya Wizara ya Sheria ya utawala huo.