Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa umoja na mshikamano wa kitaifa ndio nguzo muhimu zaidi ya nchi, akibainisha kuwa mshikamano wa wananchi umefutilia mbali mipango ya maadui ya kuleta machafuko nchini humo.
Washiriki walipata nafasi ya kutoa maoni na mapendekezo ya kuboresha utendaji wa Taasisi. Mazungumzo yalikuwa ya kujenga baina ya Mkuu wa Chuo na Wanafunzi, na yalilenga kuweka mikakati madhubuti kwa ajili ya mwaka mpya wa masomo unaofuata.