Putin alifika New Delhi, India, Alhamisi, ambapo alikaribishwa na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, siku mbili tu baada ya mkutano wake katika eneo la Kremlin na ujumbe wa Marekani ulioongozwa na mwakilishi maalum Steve Witkoff.
Kwa mujibu wa madai ya tovuti moja ya Kizayuni, vyanzo vya kisiasa nchini Israel vinamtaja David Barna, mkuu wa Mossad, kama mmoja wa wagombea wakuu wa kumrithi Benjamin Netanyahu.