Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Jumatatu usiku ilikataa pingamizi la kisheria na ombi la rufaa la utawala wa Kizayuni wa Israel, na hivyo kuweka wazi njia ya kuendelea na uchunguzi wa uhalifu wa kivita unaofanywa na utawala huo katika Ukanda wa Gaza.
Stoklund, huku akikiri kuwa suala la adhana nchini Denmark kwa sasa ni “dogodogo sana,” alisisitiza kuwa kuchunguza uwezekano wa kuipiga marufuku kisheria kunachukuliwa na serikali kama hatua ya “tahadhari ya mapema.”