Ayatollah Abul-Qasim Alidoust, mmoja wa walimu wa masomo ya kiwango cha juu (Dars-e-Kharij) katika Hawza ya Kiislamu ya Qom, amekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah al-Uzma Javadi Amoli
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu, basi nafasi ya kazi, jitihada, na kupanga mipango ni ipi?” Je, imani kwa takdiri ya Mungu inamaanisha kuacha kutumia njia halisi na kusubiri pasipo kufanya lolote?